| Aliyekuwa Kiongozi wa Mchinga na mkung'uta gitaa la solo, Adolf Mbinga. |
| Enzi hizo drums zilikuwa zikipigwa na Michael Liloko. |
| Wakati kinanda alikuwa akikigandamiza, Deo Mwanambilimbi 'Mzee wa Goba. |
| Kwani safu ya wanenguaji wa kike ilikuwa ikiongozwa na Mwanadada, Amina 'Rusha Roho' (kulia) na Queen Vero (kushoto). |
| Mchinga Sound ilikuwa na wakereketwa kama huyu.......PICHA ZOTE/MAKTABA YA DAILY MITIKASI BLOG |
No comments:
Post a Comment