Tangazo

December 29, 2011

TAARIFA KWA WAPIGA PICHA ZA HABARI WOTE TANZANIA

Kwa niaba ya Uongozi wote wa PPAT, napenda kuchukua fursa hii kumpa pole Mpigapicha za Habari Mwenzetu Robert Okanda wa Magazeti ya Daily News na Habari Leo kwa athari kubwa iliyompata kufuatia mafuriko yaliyotokea hivi karibuni jijini Dar es Salaam.

PPAT ipo pamoja nae katika kipindi hiki kigumu cha kurejesha hali ya makazi, na mali zake katika hali sahihi ya awali.

Kwa taarifa hii PPAT inaomba yeyote atakae kuguswa na tatizo hili la mwenzetu kumchangia chochote alichonachonacho iwe ni mali au fedha, na awasilishe mchango wake huo kwa Mwanakombo Jumaa pale Idara ya Habari Maelezo (Mhazini Msaidizi) au waliyo na M Pesa na Tigo Pesa wazitume 0717002303 au 0755 373999 (Mroki Mroki).

Natanguliza shukrani zetu za thati.
Mroki Mroki
Katibu Mkuu-PPAT

No comments: