Tangazo

January 23, 2015

FURAHA YA UTIAJI SAINI MAKUBALIANO YA KUNGANISHA CHAMA CHA SPLM CHA SUDANI KUSINI JIJINI ARUSHA

Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Naibu Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa (kulia) na Bw. Deng Alor Kuol  wakifurahia wakati  Rais Salva Kiir Mayardiy wa Sudan ya Kusini (wa pili kushoto) na Makamu wa Rais wa zamani wa Sudan Dkt Riek Machar Teny (wa pili kulia) wakipeana mikono na kubadilishana nyaraka baada ya kutia saini mkatana wa makubaliano ya kukiunganisha upya chama cha SPLM cha Sudani Kusini katika hoteli ya Ngurdoto jijini Arusha Jumatano Januari 21, 2015 usiku. PICHA NA IKULU

No comments: