Meneja wa Ofisi ya
mkoa wa Lindi, Fortunata Raymond akitoa mada ya maboresho yanayotekelezwa na
mfuko hususani kitita cha mafao kwa wanachama katika kata namichiga
wilayani ruangwa ambapo pia aliwataka kutumia mkutano huo kubainisha changamoto
hasi na chanya zitakazowezesha maboresho ya huduma za matibabu sambamba na
sekta ya afya kwa ujumla. Kushoto katikati ni Mtendaji Kata ya Namichiga, Richard
Nnonjela na (kushoto kabisa) ni Mwalimu Mkuu wa shule ya msingi Namkonjera
iliyopo kata ya Namichiga.
|
No comments:
Post a Comment