Tangazo

July 29, 2015

Paisha yazinduliwa rasmi jijini Dar

Mgeni rasmi ambae pia ni rais wa Makampuni ya Convivium Africa Investment, Ndg Alfonso ippolito akizungumza machache wakati wa uzinduzi wa platform mpya ya matangazo iliyozinduliwa hapo jana katika hoteli ya serena.Paisha ni platform ya matangazo ambayo inapatikana kupitia simu za mkononi yaani smartphone na kupitia tovuti ambapo watumiaji wa simu za smartphone wanaweza kuipakua kupitia google play and playstore bure kabisa.
Meneja bidhaa wa Paisha, Godfrey Fataki akizungumzia jinsi paisha inavyofanya kazi na faida zake wakati wa uzinduzi wa platform hiyo uliofanyika jana katika hoteli ya serena
 Mgeni rasmi akifungua pazia kuashiria kuwa Paisha imezinduliwa rasmi 
Mtangazaji wa Redio Clouds Ephraim Kibonde akiwa katika picha ya Pamoja na Balozi wa Paisha wakati wa uzinduzi wa platform mpya ya matangazo iliyozinduliwa jana katika ukumbi wa Marquee Serena Hotel.
 Mdau akiwa pembeni ya mfano wa simu ya Iphone ambayo inaonyesha application ya Paisha.Paisha inapatikana kupitia playstore na google store bure na endapo utakuwa na application hiyo utaweza kufahamu na kupata huduma zote zitolewazo nchini huku wateja takribani Milioni 1 wameshajiunga huku watumiaji wakipata urahisi wa huduma hizo
tukipata selfie
 Black ryhino akipata selfie na mabest zake wakati wa uzinduzi huo
 Ni mwendo wa selfie tu
 Wadau wakifuatilia uzinduzi wa application ya Paisha
Picha zote na Josephat Lukaza wa Lukaza Blog

Paisha ni platform ambayo inapatika katika simu za smartphone pamoja na tovuti platform hii ni kwaajili ya watoa huduma na wauzaji wa bidhaa ambao wanapenda kuwafikia wateja wao kirahisi,Paisha inapatikana kupitia google play na playstore huku watumiaji wa paisha wananufaika kufahamu sehemu ambapo wanaweza kupata huduma mbalimbali kama vile maduka na hata huduma nyingine sehemu ambapo watuamiaji hao sio wenyeji au wenyeji lakini hawafahamu baadhi ya bidhaa zinapatikana wapi.

Ukiwa na application ya paisha katika simu inakusaidi kufahamu kuanzia ramani alipo mtoa huduma huyo pamoja na mawasiliano yake mfano umeenda tegeta na umepata pancha na haufahamu sehemu ilipo gereji ukiwa na paisha kwenye simu yako itakusaidia kufahamu ilipo gereji ambapo itakuonyesha jina la gereji iliyopo karibu na wewe hapo huku ikikuonyesha na ramani pamoja na mawasiliano ya gereji hiyo vilevile kwa bidhaa na huduma nyingine.

Ni application ambayo inawalete urahisi watumiaji na watangazaji wa bidhaa hizo kupitia paisha.kufahamu zaidi kuhusu paisha unachotakiwa kufanya ni tembelea tovuti yao ya www.paisha.co.tz na vilevile unaweza kupakua application hiyo kupitia playstore na google play sasa
Kuweza kupata faida zaidi.

No comments: