Tangazo

March 29, 2016

WASHINDI MBIO ZA MAGARI ZA VAISAKH RALLY 2016 WAKABIDHIWA ZAWADI

Mfanyabiashara Davis Mosha akiwa na mshindi wa kwanza katika mashindano ya Mbio za magari yaliyofanyika mwishoni mwa wiki mjini Moshi,Gurjit Dhan (kushoto) akiwa na msoma ramani wake Shameer Yusuf (kulia).
Mshindi wa pili katika mbio za magari ,Piero Canobbio (kushoto) akiwa na msoma ramani wake Silvia Frigo.
Mshindi wa tatu katika mashindano hayo Gurpa Sandhu (kushoto) akiwa na msoma ramani wake Davie Sihoka.
Mshiriki wa Mbiio za magari kutoka Morogoro Bob Taylor akipokea kikombe baada ya kumaliza akiwa katika top ten.
Zawadi mbalimbali zilizotolewa kwa washiriki wa mashindano hayo ya Vaisakh Rally ambayo hufanyika kila mwaka mkoani Kilimanjaro.
Mfanyabiashara Davis Mosha akizungumza mara baada ya kukabidhi zawadi kwa washindi.
Washindi wakiwa katika picha ya pamoja na waandaaji wa mbio hizo.
Zawadi mbalimbali zilizotolewa kwa washindi pamoja na waandaaji.
Mshindi wa kwanza katika Mashindano ya mbio za magari ,Gurjit Dhan (Kulia) akizungumza jambo na mshindi wa pili wa mbio hizo Piero Canobbio kutoka nchini Kenya.
Baadhi ya magari yaliyoshiriki mbio hizo.
Mashabiki wakiwa katika eneo mojawapo wakifuatilia mbio hizo.
Moja ya gari la mashindano kikivutwa mata baada ya kupata hitilafu.
Baadhi ya magari yakiwa katika mbio hizo.
Magari mengine yalilazimika kutembea bila ya gurudumu baada ya kupata hitilafu.
Imendaliwa na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini,.
(0755659929)

No comments: