Tangazo

Showing posts with label Afrika Mashariki. Show all posts
Showing posts with label Afrika Mashariki. Show all posts

January 13, 2016

BALOZI WA RWANDA AKUTANA NA MBUNGE WA EALA, SHY-ROSE BHANJI


 Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Mh. Shy-Rose Bhanji, (kushoto), akipeana mikono na Balozi wa Rwanda hapa nchini, Mh.Eugene Kayihura ofisini kwa balozi Masaki jijini Dar es Salaam, Jumatano Januari 13, 2016. Mh. Bhanji alifika kumsalimia na kumtakia heri ya mwaka mpya balozi huyo ambaye nchi yake ni mwanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki. (Picha na K-VIS MEDIA/Khalfan Said)
 Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki kutoka Tanzania, Mh. Shy-Rose Bhanji, (kushoto), akiwa na mazungumzo na Balozi wa Rwanda hapa nchini, Mh. Eugen Kaihura kwenye ofisi ya Balozi, Masaki jijini Dar es Salaam Jumatamo Januari 13, 2016. Mh. Bhanji alifika kumsalimia na kumtakia heri ya mwaka mpya balozi huyo ambaye nchi yake ni mwanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki

NA K-VIS MEDIA/Khalfan Said

MBUNGE wa Bunge la Afrika Mashariki, (EALA), tawi la Tanzania, Mh. Shy-Rose Bhanji, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Rwanda hapa nchini, Mh. Eugen Kaihura, ofisini kwa Balozi, Masaki jijini Dar es Salaam, leo Jumatano Januari 13, 2016.

Wakizungumza na waandishi wa habari mara baada ya mkutano wao, Mh. Bhanji alsiema, Rwanda ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kama ilivyo kwa Tanzania, na Bunge la Afrika Mashariki linaundwa na wabunge kutoka nchi zote wanachama ambazo ni Tanzania, Rwanda, Burundi, Kenya na Uganda, hivyo aliona umuhimu wa kwenda kumtakia heri ya mwaka mpya balozi huyo wa Rwanda.

Naye Balozi wa Rwanfa hapa nchini, Mh. Kaihura, alimshukuru mbunge huyo kwa kumtembelea ofisini kwake na kumtakia heri ya mwaka mpya, na kumuhakikishia Rwanda ambayo ni mwanachama wa Jumuiya itaendelea kushirikiana na nchi wanachama wa jumuiya hiyo ili kujenga Afrika Mashariki iliyo na ustawi wa hali ya juu na ushirikiano uliotukuka
 Mh. Bhanji akizungumza na waandishi wa habari
 Mh. Bhanji na balozi Mh. Kaihura wakiwa kwenye mazungumzo
 Mh. Balozi Kaihura akizungumza na waandishi wa habari
 Mh. Bhanji akiweka saini kitabu cha wageni ofisini kwa balozi Kaihura
 Mh. Balozi Kaihura akimsindikiza mgeni wake Mh. Bhanji
Mh. Balozi Kaihura, akimuonyesha umbo la kitamaduni lililobuniwa nchini Rwanda likionyesha rangi za nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki

October 8, 2015

KENYA-TANZANIA BUSINESS FORUM ON OCTOBER 6, 2015 IN NAIROBI, KENYA IN PICTURES

 Executive Director of Tanzania Investment Centre Ms. Juliet Kairuki welcomes the President of Republic of Kenya H.E. Uhuru Kenyatta to the Forum
 President of the Republic of Kenya  H.E. Uhuru Kenyatta arrives at the venue of the Kenya-Tanzania Business Forum. He is escorted by Kenyan Minister of Industrialization and Enterprise Development
 Kenyan Minister of Industrialization and Enterprise Development and Managing Director of Intercontinental Hotel, Nairobi welcome the President of the United Republic of Tanzania
 Ms Juliet Kairuki , CEO of Tanzania Investment Centre welcomes President of the United Republic of Tanzania HE. Dr Jakaya  Kikwete
 Their Excellencies Dr. Jakaya Kikwete and Uhuru Kenyatta enter the conference room
Permanent Secretary Ministry of Industry and Trade Mr Uledi Musa deliver his remarks
 The two Presidents stand at attention as Nationa Anthems are played

 President Jakaya Kikwete delivers his keynote address during the forum
 Godfrey Simbeye (CEO of the Tanzania Private Sector Foundation) extends a hand  to the Managing Director of Kenya Investment Authority Dr . Moses Ikiara
 From left, Juliet Kairuki CEO of Tanzania Investment Centre; Mr. Godfrey Simbeye (CEO of Tanzania Private Sector Foundation) and Dr Moses Ikiara (CEO of Kenya Investment Authority-Keninvest) take timr off for a souvenir photo during the forum
 CEO of Kenya Association of Manufacturers ( in red) Ms Phyllis Wakiaga and other delegates await the arrival of the Kenya and Tanzania Presidents at the forum. 

 Senior members of the Tanzanian delegation at the forum  
 Kenya Police Brass band play  the National Anthems during the business forum. They are also famous for playing Tanzanian top hits like Diamond's "You are my number one" to the surprise of many a Tanzanian listening to them
 Prominent Kenyan business moguls including  Great  Chris Kirubi the richest  business magnet in Kenya owning  virtually most of the companies in HACO industries, and Kenya Airways shareholder engage President Kikwete post delivery of his key note address
 Mr Geodfrey Simbeye Simbeye (CEO of TPSF) greets the President  of Kenya H.E. Uhuru Kenyatta in Nairobi
 Ms. Juliet Kairuki with the Permanent Secretary, Ministry of Trade and Industry from Tanzania Mr. Musa Uledi
 TIC’ EXD listens attentively to speech of the CEO of Kenya Investment Authority
 Kenyan investor seeks clarity on some issues from Executive Director of Tanzania Investment Centre.
Mrs Juliet Kairuki addressing the audience 

October 6, 2015

RAIS KIKWETE KATIKA ZIARA YA KUAGA NCHINI KENYA

 Naibu Rais wa Kenya Mhe William Ruto akiongozana na Balozi wa Tanzania nchini Kenya Mhe Haule wakisogea eneo la kupokelea wageni mashuhuri katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi Jumapili jioni
 Naibu Rais wa Kenya Mhe William Ruto akisalimiana na kikundi cha kuimba Accapella  eneo la kupokelea wageni mashuhuri katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi Jumapili jioni
 Ndege la Shirika la Ndege la Air Tanzania iliyomchukua Rais Kikwete ikiwasili uwanjani hapo
 Rais Kikwete akishuka katika ndege
 Rais Kikwete akilakiwa kwa furaha na Naibu Rais wa Kenya Mhe William Ruto
 Rais Kikwete akipokea shada la maua
 Rais Kikwete akitambulishwa kwa viongozi na maafisa mbalimbali wa Kenya
 Rais Kikwete akisalimiana na maafisa ubalozi wa Tanzania nchini Kenya
 Rais Kikwete akisalimiana na Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya
 Rais Kikwete akiongozana na Naibu Rais wa Kenya Mhe William Ruto
 Rais Kikwete akiongea na Naibu Rais wa Kenya Mhe William Ruto
 Rais Kikwete na mwenyeji wake Naibu Rais wa Kenya Mhe Wiliam Ruto wakiangalia vikundi mbalimbali vya ngoma vilivyokwenda kumpokea uwanja wa ndege




 Rais Kikwete akiongozana na Naibu Rais wa Kenya Mhe William Ruto
 Rais Kikwte akiweka saini kitabu cha wageni
 Rais Kikwete akiangalia picha mbalimbali zenye historia ya uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta
 Mratibu wa hafla ya chakula cha usiku kilichoandaliwa na Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya akisom ratiba wakati wa kuanza kwa shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi 
  Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi
 Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi
 Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi
 Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi
 Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi
 Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi
 Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi
 Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi
 Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi
 Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi
 Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi
 Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi
 Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi
 Balozi wa  Tanzania nchini kenya Mhe John Haule akiongea wakati wa hafla ya Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya waliyoandaa kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi
 Balozi wa  Tanzania nchini kenya Mhe John Haule akiongea wakati wa hafla ya Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya waliyoandaa kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi
 Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi
 Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi
 Dua ya Kiisalamu ikisomwa na mwakilishi wa Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi

 Dua ya Kikristo  ikisomwa na mwakilishi wa Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi
 Makamu Mwenyekiti wa  Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya akisoma risala yao katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi
 Wanajumuiya
 Baadhi ya ujumbe wa Rais Kikwete kwenye hafla hiyo
 Wanajumuiya wakimsikiliza Rais Kikwete
 Rais Kikwete akihutubia wana Jumuiya
 Rais Kikwete akihutubia wana Jumuiya
 Rais Kikwete akihutubia wana Jumuiya
 Wanajumuiya wakipiga makofi
 Meza kuu
 Wanajumuiya na wageni wakishangilia
 Rais Kikwete akipokea zawadi yake toka kwa Jumuiya
 Mapaparazi hawakosekani kwenye shughuli kama hizi....
 Rais Kikwete akipokea zawadi kwa  niaba ya mkewe Mama Salma Kikwete
 Neno la shukurani
 Rais Kikwete akimshukuru mtoa neno 
 Rais Kikwete akiwa na wanachama wa Jumuiya ya Kinamama wa Tanzania waishio Kenya
 RAis Kikwete akiwa na viongozi wa jumuiya
 Rais Kikwete akiwa na wanafunzi wa Tanzania wasomao Kenya
 Rais Kikwete akipata picha na wafanyakazi wa Ubalozi wa Tanzania nchini Kenya
 Rais Kikwete akiwa katika picha ya kumbukumbu na Balozi John Haule na mkewe mama Haule wakati alipoamua kupiga picha na kila mwanajumuiya aliyehudhuria kwenye hafla hii. Hizi na baadhi tu ya hizo picha


 Rais Kikwete akiwa na wanaJumuiya 
Rais Kikwete akipokea maelezo ya badhi ya changamoto wazipatazo wanafunzi wa Tanzania wasomao Kenya kutoka kwa mwenyekiti wa umoja wao.