Tangazo

October 7, 2011

Transfoma yalipuka na kuteketeza Jenereta na Ofisi ya Star Times jijini Dar.

Jenereta la Kituo cha Star Times kinachotoa huduma za ving'amuzi kilichopo ndani ya Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC), likiwa limeteketea kwa moto baada ya Transfoma kulipuka na kuunguza pia moja ya ofisi za kituo hicho kilichopo Mikocheni, Dar es Salaam jana.
Transfoma, jenereta na sehemu ya ofisi za kituo cha Star Time, zilinavyoonekana, mara baada ya moto kuzimwa na Zimamoto.

No comments: