Tangazo

January 16, 2012

DK. MARY MWANJELWA AJIBU KERO MBALIMBALI ZA WAKAZI WA MWANJELWA

Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mbeya, Mh. Dk. Mary Mwanjelwa akizungumza na wananchi wa Mwanjelwa  katika kiwanja cha Sido.

Mh. Dk. Mary Mwanjelwa akihutubia wananchi katikati ya madimbwi ya maji ya mvua  huku akiahidi kumwona Mkurugenzi wa Jiji la Mbeya  ili amwombe afukie madimbwi hayo huku wananchi wakimshangilia kwa ahadi hizo. Picha kwa hisani ya Mbeya Yetu blog

No comments: