Tangazo

February 1, 2012

KITCHEN PARTY YA REHEMA KILUVIA YAFANA

 Bi Harusi mtarajiwa Rehema Kiluvia akiwa na dadake Lulu Kiluvia  wakitoka  nje ya ukumbi ambako dada alificha zawadi yake ya gari aina Fun Cargo.Kitchen Party hii imefanyika usiku wa jana January 31 2012  katika ukumbi wa Dunkan House uliopo Mikocheni Jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na wakina mama wenye majina , wafanyabiashara na warembo , wanamuziki, waandishi na watangazaji.Blogu hii inamtakia kila la kheri Rehema  katika kuanza ukurasa wake mpya wa maisha. Picha zaidi tembelea www.bongoweekend.blogspot.com

Rehema akiwa ndani ya zawadi yake ya gari aliyopewa na dadake Lulu.

 Asha Baraka na yeye akijimwayamaywa  mara baada ya kumtunza Rehema ambaye ni Mdau mkuu wa bendi ya Twanga International pia mwanachama chama cha kusaidiana katika shida na raha.

Asha Baraka akiwa na watoto wake Maangaza (kulia) na Matinda (kushoto).

Asha Baraka na Khadija Shaibu a.k.a Dida .

No comments: