· Kwa siku 60 zaidi ya wateja 580 wa Airtel kuibuka na mamilioni hayo.
· Tuma shinda kwenda 15595 ili kujiweka kwenye ushindi
Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania imeongeza muda wa promosheni yake kabambe ya 'AMKA MILIONEA' ikiwa ni pamoja na kuongeza kiasi kikubwa cha FEDHA, ili wateja wake kuendelea kujizolea mamilioni zaidi.
Meneja Uhusiano wa Airtel, Bw. Jackson Mmbando (PICHANI), amehabarisha kuwa promosheni hiyo iliyodumu kwa siku 90 hapo awali na kufanikiwa kuzawadia zaidi ya milioni 400 kwa wateja wameamua kuiendeleza ili wateja waendelee kufaidi zaidi.
· Tuma shinda kwenda 15595 ili kujiweka kwenye ushindi
Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania imeongeza muda wa promosheni yake kabambe ya 'AMKA MILIONEA' ikiwa ni pamoja na kuongeza kiasi kikubwa cha FEDHA, ili wateja wake kuendelea kujizolea mamilioni zaidi.
Meneja Uhusiano wa Airtel, Bw. Jackson Mmbando (PICHANI), amehabarisha kuwa promosheni hiyo iliyodumu kwa siku 90 hapo awali na kufanikiwa kuzawadia zaidi ya milioni 400 kwa wateja wameamua kuiendeleza ili wateja waendelee kufaidi zaidi.
No comments:
Post a Comment