Tangazo

January 17, 2014

Skylight Band yazidi kuwateka mashabiki jijini Dar

DSC_0118
Hashim Donode mzee wa Oldies akitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band sambamba na Digna Mbepera pamoja na Winnie kwenye show yao ya Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar.
DSC_0049
Divas: Mary Lucos na Winnie wakiwapa raha fans wa Skylight Band.
DSC_0061
Sam Mapenzi akifanya yake jukwaani.
DSC_0075
Happy Birthday to you...... Happy Birthday dear Joti..........Happy Birthday to you....Shabiki wa Skylight Band anafahamika kwa jina la Joti (mwenye shati la kaki) alijumuika na marafiki zake kusheherekea siku yake ya kuzaliwa ndani ya kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar.
DSC_0076
DSC_0085
Skylight Band wakiendelea kutoa burudani na staili yao ya "Yachuma chuma".
DSC_0090
Birthday boy Joti akijimwaga na marafiki zake na sebene la Skylight Band.
DSC_0094
Warembo wakionekana kuchizika na Skylight Band.
DSC_0088
Rappa Joniko Flower akitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band.
DSC_0131
Umati wa mashabiki wa Skylight Band ukisebeneka ndani kiota Thai Village.
DSC_0107
Digna Mbepera sambamba na Winnie wakitumbuiza mashabiki wa Skylight Band.
DSC_0148
Mary Lucos akicheza na kuimba na mashabiki wa Skylight Band.
DSC_0135
Ilikuwa full mzuka kwa mashabiki wa Skylight Band....Usipime na sio ya kukosa leo jioni pale pale muda ule ule....,mpango mzima.
DSC_0175
Rappa Joniko Flower akioyesha zawadi ya kinywaji cha PATRON kwa mashabiki wa Skylight Band ambapo mwanadada atakaye sebeneka vizuri atajishindia kinywaji hicho.
DSC_0178
Kutokana na mapenzi kwa makubwa kwa mashabiki wa Skylight Band Mmiliki wa Band hiyo Dr. Sebastian Ndege a.k.a JEMBE aliamua kutoa kinywaji chake hicho kama zawadi kwa mwanadada atakayecheza vizuri staili za bendi hiyo.
DSC_0180
Mzigo huu hapa kazi kwenu....Vijana mate yanawatoka.
DSC_0186
Vijana wa Skylight Band wakionyesha staili zao kwa mashabiki wao.
DSC_0193
Mashabiki wakiangalia kwa umakini staili hizo.
DSC_0199
Warembo wakionyesha makeke yao kwenye jukwaa la Skylight Band.
DSC_0213
  Mchujo ukiendelea.... DSC_0224   DSC_0230  
Wakaona hawaelekei ikabidi Aneth Kushaba AK 47 awaonyeshe manjonjo yake.
DSC_0237  
Hapo je.....vijana wameiva sasa....
DSC_0239
Mashabiki wa Skylight Band ambao ghafla waligeuka kuwa mashabiki wa kuamaua nani mshindi..kwa umakini wakifuatilia burudani hiyo.
DSC_0262
Sony Masamba akionyesha staili mpya ya Skylight Band kwa mashabiki.
DSC_0263
Warembo wakifanya yao jukwaani.
DSC_0300
Mwishowe hawa ndio waliotinga fainali......na kutoka ngoma droo..tofauti ni maumbile tu lakini wote wakali.
DSC_0317
Walipatikana washindi wawili waliotoka ngoma droo kutokana na majaji ambao ni mashabiki...Pichani Sony Masamba akipata Ukodak na washindi hao huku Aneth Kushaba AK 47 (aliyeipa mgongo camera) akiwa hana mbavu.
DSC_0322
Baada ya zoezi hilo burudani iliendelea ni mwendo wa mduara tu....mambo ya kuzungusha nyonga wadada mpooo pale kati...???
DSC_0326
DSC_0151
Aneth Kushaba AK47 na shabiki wake.
DSC_0156
Petit Man na Winnie wakishow love ndani ya kiota cha Thai Village.
DSC_0097
Hashim Donode na Digna Mbepera wakipata Ukodak back stage.
DSC_0329
Wadau wa ukweli ndani ya Skylight Band Ijumaa iliyopita kwenye kiota cha maraha Thai Village.

No comments: