Tangazo

February 11, 2015

Mkutano wa Dunia wa Mabadiliko ya Tabianchi - Geneva Uswisi

 Afisa Mazingira kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais, Bi. Emelda Teikwa (kushoto), Injinia Ladslaus Kyaruzi kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira (aliyesimama kushoto), Bw. Fred Manyika kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira (aliyekaa), na Mtaalam wa masuala ya Hali ya Hewa kutoka nchini Botswana, Bw. Balisi Gopolang (kulia), wakijadili jambo katika mkutanao wa maandiilizi wa Mkutano wa Dunia wa Mabadiliko ya Tabianchi unaoendelea mjini Geneva Uswiss. ( Picha na Evelyn Mkokoi)

No comments: