Tangazo

March 28, 2012

UZINDUZI WA UTAFITI WA KUKU WA ASILI

Waziri Mkuu Mizengo Pinda akipiga fimbo mfano wa umbo la  yai  ikiwa ni ishara ya kuzindua matokeo ya utafiti wa kuboresha ufugaji wa kuku wa asili katika hafla iliyofanyika kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dares Salaam Machi 28.12.PICHA ZOTE NA MAGRETH KINABO - MAELEZO

Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiangalia  chanjo dhidi ya magonjwa ya mdodo na kideri  huku akipata maelezo kutoka kwa Dk. Gabriel Shirima  wa Maabara Kuu ya  Mifugo ya Temeke.

Waziri Mkuu Mizengo Pinda akifurahia ubunifu wa mfano wa  umbo la mfano wa  yai.


Waziri Mkuu Mizengo Pinda akipata maelezo ya ufugaji kuku wa asili kutoka kwa  mfugaji , Godfrey Mwaipopo mkazi wa  Kibaha wakati wa uzinduzi wa  matokeo ya utafiti wa kuboresha ufugaji wa kuku wa asili katika hafla iliyofanyika kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee.

Baadhi ya  wadau wa uzinduzi wa  matokeo ya utafiti wa kuboresha ufugaji wa kuku wa asili wakiwa katika uzinduzi huo.

No comments: