Waziri Mkuu wa zamani, Mh. Edward
Lowassa, (kulia), akionyesha mkoba wenye fomu za kuomba kuwania urais kupitia
CHADEMA, baada ya kukabidhiwa na Mwenyekiti wa chama hicho, Mh. Freeman Mbowe,
kwenye makao makuu ya chama hicho, Kinondoni jijini Dar es Salaam, leo Julai
30, 2015. Mh Lowassa, alijiunga hivi karibuni na chama hicho, baada ya kujitoa
CCM.
|
No comments:
Post a Comment