Tangazo

October 17, 2013

Pinda akutana na Waziri Mkuu wa China

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiongozwa na Mwenyeji wake Waziri Mkuu wa China,  Li Keqiang kuelekea kwenye ukumbi  wa mazungumzo  wakati alipowasili  kwenye Ofisi ya Waziri Mkuu mjini Beijing akiwa katika ziara ya kikazi nchini humo Oktoba  17, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akigonganisha glass na Waziri Mkuu wa China, Li Keqiang katika hafla ya kutia saini makubaliano ya Ushirikiano katika nyanja mbalimbali kati ya China na Tanzania kwenye Ofisi ya Waziri Mkuu mjini Beijing Oktoba 17, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments: