Tangazo

October 6, 2011

Waimbaji wa nyimbo za Injili watoa Tuzo kwa Mkurugenzi wa Msama Promotions, Alex Msama

Mlezi wa Chama cha Wanamuziki wa nyimbo za Injili, Martha Mlata (kushoto)  ambaye  pia Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Mkoa wa Singida akimkabidhi  tuzo Mkurugenzi  wa  Msama  Promotions,  Alex Msama  kutokana na kutambua mchango wake katika  kupambana  na  wezi  wa  kazi  za  wasanii katika hafla fupi iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana.  Wengine  katika  picha  ni  wasanii  wa  nyimbo  za  injili. (Picha na Francis Dande).

Wasanii wa nyimbo za injili wakiimba wimbo maalumu wa kutimiza miaka 50 ya Uhuru baada ya kumkabidhi tuzo Mkurugenzi wa Msama Promotion, Alex Msama.

No comments: