Tangazo

October 11, 2013

Siku ya sita Ziara ya CHADEMA Jimbo la Tabora Kaskazini











Tumefanya mkutano wetu wa mwisho kijijini Mabama. Mkutano mkubwa sana na kuingia wanachama wengi sana. 
Kilio kikubwa cha wananchi ni Maji na unyonyaji katika zao la Tumbaku. Kuna haja kubwa sana ya kusukuma hifadhi ya jamii kwa wakulima. Tunaweza kukoboa wakulima wengi sana kutoka kwenye unyonyaji.

Ufisadi kwenye ngazi ya kijiji unatisha. Kama kawaida Mh Zitto Kabwe aliacha swali,
Umewahi kusikia jengo la matofari ya saruji linajengwa kwa tope?
  Kesho 12th Oct  Nzega na kesho kutwa 13th  Igunga

No comments: