February 24, 2012
VODACOM FOUNDATION YAKARABATI KITUO CHA POLISI MTO WA MBU KWA MARA YA KWANZA TANGIA KIJENGWE MWAKA 1967
February 22, 2012
BENKI YA NBC YAJITOSA KUDHAMINI GOFU LA WANAWAKE
| Maofisa wa NBC pamoja na wa Kitengo cha Gofu ya Wanawake cha Klabu ya Gymkhana Dar es Salaam wakipiga picha ya pamoja katika hafla hiyo jijini Dar es Salaam leo. |
Waziri Nagu akutana na Mwakilishi Mkuu wa Uchumi na Biashara wa Watu wa Jamhuri ya China nchini Tanzania, Zhao Zhongqiu
Polisi wapambana na Waandamaji Songea: Risasi za Moto zatumika
USD 300 000… WHAT COULD YOU DO WITH THIS MUCH MONEY?
February 2012
If you had USD 300 000 what would you do … shop ‘til you drop, start a business or buy property? Perhaps pay for more education, change your family’s life, get married or fly away?
With M-Net’s new season of Big Brother Africa offering a huge USD 300 000 prize, this is definitely a question that will face one lucky person in 2012 after they win the popular 91-day reality series!
But only time will tell who this will be. Right now the race is on to get into the famous house and there are just days to go before the deadline for entries closes at midnight (CAT) on Monday February 27.
So if you haven’t completed your entry and are still interested in participating…get moving because time is running out and Big Brother wants to hear from you! You and your partner may be just the people that Biggie is looking for this time round.
And a reminder … this season entrants must DOUBLE-UP to compete. This means that anyone who wants to enter season 7 must partner with another person to enter as a pair!
Entry is open to citizens from Angola, Botswana, Ghana, Kenya, Liberia, Malawi, Namibia, Nigeria, Sierra Leone, South Africa, Tanzania, Uganda, Zambia and Zimbabwe. Both partners must come from the same country, must be 21 years or older, must be fluent in English and must have a valid passport.
Interested persons can collect an entry form from the nearest MultiChoice office in their country. You can also enter by visiting www.mnetafrica.com/bigbrother and completing an entry form online. Or download an entry form from the website, complete and email it back to bba@endemol.co.za.
“We’ve had positive feedback from BBA fans who love the challenge of entering in pairs,” says M-Net Africa MD Biola Alabi. “It’s great to see them embrace the change so enthusiastically! And if you haven’t sent your entry in yet, please do so soon. We want to hear from you!”
She also confirmed that, once all the entries were in, the Endemol production team will identify the best entrants and these persons will be invited to a casting session. But if, for some reason, you don’t submit your paper entry in time…there is another option.
“We know that sometimes people do miss the cut-off for sending in their paper entry, so we’re opening the casting sessions again this year to late entries. Those people need to simply come to the casting venue and meet the team. However, a paper entry is still the very best way to get selected. It gives our teams more time to work through to your entry in detail and increases your chances of participating.”
Casting details: Holiday Inn City Centre- Dar es Salaam from 13th-15th March 2012. M-Net’s Big Brother Africa 7 starts on DStv channel 198 on Sunday May 6.
If you had USD 300 000 what would you do … shop ‘til you drop, start a business or buy property? Perhaps pay for more education, change your family’s life, get married or fly away?
With M-Net’s new season of Big Brother Africa offering a huge USD 300 000 prize, this is definitely a question that will face one lucky person in 2012 after they win the popular 91-day reality series!
But only time will tell who this will be. Right now the race is on to get into the famous house and there are just days to go before the deadline for entries closes at midnight (CAT) on Monday February 27.
So if you haven’t completed your entry and are still interested in participating…get moving because time is running out and Big Brother wants to hear from you! You and your partner may be just the people that Biggie is looking for this time round.
And a reminder … this season entrants must DOUBLE-UP to compete. This means that anyone who wants to enter season 7 must partner with another person to enter as a pair!
Entry is open to citizens from Angola, Botswana, Ghana, Kenya, Liberia, Malawi, Namibia, Nigeria, Sierra Leone, South Africa, Tanzania, Uganda, Zambia and Zimbabwe. Both partners must come from the same country, must be 21 years or older, must be fluent in English and must have a valid passport.
Interested persons can collect an entry form from the nearest MultiChoice office in their country. You can also enter by visiting www.mnetafrica.com/bigbrother and completing an entry form online. Or download an entry form from the website, complete and email it back to bba@endemol.co.za.
“We’ve had positive feedback from BBA fans who love the challenge of entering in pairs,” says M-Net Africa MD Biola Alabi. “It’s great to see them embrace the change so enthusiastically! And if you haven’t sent your entry in yet, please do so soon. We want to hear from you!”
She also confirmed that, once all the entries were in, the Endemol production team will identify the best entrants and these persons will be invited to a casting session. But if, for some reason, you don’t submit your paper entry in time…there is another option.
“We know that sometimes people do miss the cut-off for sending in their paper entry, so we’re opening the casting sessions again this year to late entries. Those people need to simply come to the casting venue and meet the team. However, a paper entry is still the very best way to get selected. It gives our teams more time to work through to your entry in detail and increases your chances of participating.”
Casting details: Holiday Inn City Centre- Dar es Salaam from 13th-15th March 2012. M-Net’s Big Brother Africa 7 starts on DStv channel 198 on Sunday May 6.
ADOLESCENT SCHOOL GIRLS TO BENEFIT FROM TZS 640 MILLION PROJECT
The Japanese Funds-in-Trust has agreed to release to The United Nations Educational, Scientific and Cultural Organization-UNESCO funds amounting to US $400,000 which is equivalent to TZS 640,000,000 in order to support the Government of the United Republic of Tanzania in the implementation of a project targeting the PROVISION OF ALTERNATIVE LEARNING OPPORTUNITIES FOR ADOLESCENT GIRLS FORCED OUT OF SCHOOLS DUE TO TEENAGE PREGNANCIES.
The signing ceremony will take place at the Ministry of Education and Vocational Training conference hall at 9 AM on Thursday the 23rd of February, 2012.
The two year project will focus on out-of-school adolescent girls and young mothers between the ages of 13-19. The key project objectives are; first to provide adolescent girls who are forced to drop out of Ordinary secondary school due to pregnancies access to alternative learning opportunities and to empower them through income generating and life skills; secondly, to develop and test self-learning modules and empowerment toolkits for learners and facilitators and thirdly, to assess and document good practices and achievements which will inform strategies addressing the issues related to adolescent girls.
The overall aim of this project is improving the quality of life and social well-being of adolescent girls in Tanzania, in particular those who were forced out of Ordinary secondary school due to teenage pregnancy and truancy which is rampant in deprived rural areas. Shinyanga rural and Kahama districts will pilot the project based on the fact that Shinyanga is among the regions with a high dropout rate of adolescent girls due to early pregnancy.
It is a pre-requisite for the Plan of Operation for a Funds-in-Trust project agreement- in this case- the Japanese Funds-in-Trust (JFIT) to be signed by the Representative of the Ministry of Education and Vocational Training and the Representative of UNESCO before the funds are released.
The signing ceremony will take place at the Ministry of Education and Vocational Training conference hall at 9 AM on Thursday the 23rd of February, 2012.
The two year project will focus on out-of-school adolescent girls and young mothers between the ages of 13-19. The key project objectives are; first to provide adolescent girls who are forced to drop out of Ordinary secondary school due to pregnancies access to alternative learning opportunities and to empower them through income generating and life skills; secondly, to develop and test self-learning modules and empowerment toolkits for learners and facilitators and thirdly, to assess and document good practices and achievements which will inform strategies addressing the issues related to adolescent girls.
The overall aim of this project is improving the quality of life and social well-being of adolescent girls in Tanzania, in particular those who were forced out of Ordinary secondary school due to teenage pregnancy and truancy which is rampant in deprived rural areas. Shinyanga rural and Kahama districts will pilot the project based on the fact that Shinyanga is among the regions with a high dropout rate of adolescent girls due to early pregnancy.
It is a pre-requisite for the Plan of Operation for a Funds-in-Trust project agreement- in this case- the Japanese Funds-in-Trust (JFIT) to be signed by the Representative of the Ministry of Education and Vocational Training and the Representative of UNESCO before the funds are released.
Wateja 700 wa M-PESA wajazwa Manoti
| Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom, Rene Meza |
Wateja 700 wa Vodacom MPESA wamejishindia kiasi cha shilingi 35 Milioni katika wiki ya kwanza ya promosheni ya tuma fedha kwa MPESA na ushinde ilyozinduliwa wiki iliyopita ambapo jumla ya Shilingi 480 milioni kushindaniwa.
Washindi hao ambao kila mmoja amejishindia kiasi cha shilingi 50,000 katika droo za kila siku. Mbali na droo ya kila siku promosheni hiyo itachezesha droo moja kubwa kw akila mwezi kwa kipindi cha miezi mitatu zitakazotoa washindi wa Shilingi 10 Milioni kila mmoja.
“Hadi kufikia leo promosheni hii imeshatoa washindi mia saba, haya ni matokeo ya mwitikio mzuri wa wateja wetu kushiriki na hii inatupa faraja kwetumkwa kuwa lengo la Vodacom ni kuwafanya wateja wetu kuwa na furaha watumiapo huduma yetu ya MPESA na kuwawezesha.” Alisema Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Bw. Rene Meza
Kupitia droo hiyo washindi mia moja hujishindia shilingi 50,000 kila mmoja ambazo mshindi huingiziwa moja kwa moja katika akunti yake ya MPESA.
.
Mwamavita amesema huduma ya MPESA imekuwa sehemu muhimu katika maisha ya wananchi ambayo imerahisha na kubadili maisha yao tangu ilipoanzishwa Aprili, 2008, na hii inaenda sambamba na azma ya Vodacom ya kuthamini mchango wa wateja wake kuunga mkono huduma hiyo kwa kuwawezesha na pia kuifanya kuzidi kuwa huduma bora,salama,ya uhakika na rahisi..
“Ni msimu mwengine ambapo tunatoa nafasi kwa wateja wetu kufurahia huduma bora,rahisi,salama na ya kuaminika ya Vodacom MPESA kwa gharama nafuu zaidi sokoni kutoka kampuni inayoongoza soko la huduma za simu za mkononi nchini. Alisema Bw. Rene katika taarifa yake kwa vyombo vya habari..
“Matumizi ya huduma ya Vodacom MPESA yamekuwa yakiongezeka kwa kasi sana, na hii inatufanya wakati wote kuongeza kasi ya kuifanya huduma ya MPESA kuendelea kuwa huduma bora zaidi sokoni na yenye tija kwa wateja wetu inayotoa huduma za kibenki kupitia simu ya mkononi. Kadri mteja anavyotuma pesa kwenda kwa mteja wa MPESA aliyesajiliwa au ambae hakusajiliwa ndivyo anavyojiweka katika nafasi ya juu ya kushinda zawadi katika promosheni hii”Aliongeza Bw. Rene
Huduma ya Vodacom MPESA ina mtandao wa mawakala zaidi ya elfu kumi na tano nchi nzima na wateja zaidi ya milioni nane kati yao zaidi ya milioni mbili wakifanya miamala – kutuma na kupokea fedha kwa kipindi cha mwezi mzima mfululizo.
Kupitia huduma ya MPESA mteja wa Vodacom aliyejisajili na huduma hiyo anaweza kufanya manunuzi ama kulipia huduma mbalimbali za ikiwemo umeme – LUKU, DAWASCO,DSTV,Muda wa maongezi, kuchangia michango ya harusi,kusaidia misiba, ada, n.k ndani ya nchi na hata kutokea nje ya nchi.
Mbali na promosheni hii wateja wa MPESA kwa sasa wanafurahia pia ofa mbalimbali ikiwemo ya punguzo la asilimia 75 katika gharama za kutuma fedha kwa MPESA mabapo sas amteja anatuma fedha kwa kiwango cha chini kabisa cha shilingi 50 kuanzia shilingi 500 hadi elfu kumi, nyongeza ya bonasi ya asilimia 25 mteja anaponunua muda wa maongezi wa hewani kupitia MPESA.
Washindi hao ambao kila mmoja amejishindia kiasi cha shilingi 50,000 katika droo za kila siku. Mbali na droo ya kila siku promosheni hiyo itachezesha droo moja kubwa kw akila mwezi kwa kipindi cha miezi mitatu zitakazotoa washindi wa Shilingi 10 Milioni kila mmoja.
“Hadi kufikia leo promosheni hii imeshatoa washindi mia saba, haya ni matokeo ya mwitikio mzuri wa wateja wetu kushiriki na hii inatupa faraja kwetumkwa kuwa lengo la Vodacom ni kuwafanya wateja wetu kuwa na furaha watumiapo huduma yetu ya MPESA na kuwawezesha.” Alisema Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Bw. Rene Meza
Kupitia droo hiyo washindi mia moja hujishindia shilingi 50,000 kila mmoja ambazo mshindi huingiziwa moja kwa moja katika akunti yake ya MPESA.
.
Mwamavita amesema huduma ya MPESA imekuwa sehemu muhimu katika maisha ya wananchi ambayo imerahisha na kubadili maisha yao tangu ilipoanzishwa Aprili, 2008, na hii inaenda sambamba na azma ya Vodacom ya kuthamini mchango wa wateja wake kuunga mkono huduma hiyo kwa kuwawezesha na pia kuifanya kuzidi kuwa huduma bora,salama,ya uhakika na rahisi..
“Ni msimu mwengine ambapo tunatoa nafasi kwa wateja wetu kufurahia huduma bora,rahisi,salama na ya kuaminika ya Vodacom MPESA kwa gharama nafuu zaidi sokoni kutoka kampuni inayoongoza soko la huduma za simu za mkononi nchini. Alisema Bw. Rene katika taarifa yake kwa vyombo vya habari..
“Matumizi ya huduma ya Vodacom MPESA yamekuwa yakiongezeka kwa kasi sana, na hii inatufanya wakati wote kuongeza kasi ya kuifanya huduma ya MPESA kuendelea kuwa huduma bora zaidi sokoni na yenye tija kwa wateja wetu inayotoa huduma za kibenki kupitia simu ya mkononi. Kadri mteja anavyotuma pesa kwenda kwa mteja wa MPESA aliyesajiliwa au ambae hakusajiliwa ndivyo anavyojiweka katika nafasi ya juu ya kushinda zawadi katika promosheni hii”Aliongeza Bw. Rene
Huduma ya Vodacom MPESA ina mtandao wa mawakala zaidi ya elfu kumi na tano nchi nzima na wateja zaidi ya milioni nane kati yao zaidi ya milioni mbili wakifanya miamala – kutuma na kupokea fedha kwa kipindi cha mwezi mzima mfululizo.
Kupitia huduma ya MPESA mteja wa Vodacom aliyejisajili na huduma hiyo anaweza kufanya manunuzi ama kulipia huduma mbalimbali za ikiwemo umeme – LUKU, DAWASCO,DSTV,Muda wa maongezi, kuchangia michango ya harusi,kusaidia misiba, ada, n.k ndani ya nchi na hata kutokea nje ya nchi.
Mbali na promosheni hii wateja wa MPESA kwa sasa wanafurahia pia ofa mbalimbali ikiwemo ya punguzo la asilimia 75 katika gharama za kutuma fedha kwa MPESA mabapo sas amteja anatuma fedha kwa kiwango cha chini kabisa cha shilingi 50 kuanzia shilingi 500 hadi elfu kumi, nyongeza ya bonasi ya asilimia 25 mteja anaponunua muda wa maongezi wa hewani kupitia MPESA.
Mheshimiwa 'Sugu' na Ruge sasa 'Damu Damu'
PSPF yatoa Msaada wa Madawati katika Shule ya Msingi Bwilingu - Chalinze Pwani
Tabora Marathon 2012 kuanza Machi 1o
CHAMA cha riadha mkoa wa Tabora (RITAM),kwa kushirikiana na Orion Tabora Hotel,wanatarajia kuendesha mashindano yatakayojulikana kama Tabora Marathon 2012 kwa lengo la kuutangaza mkoa na vivutio vyake.
Mratibu wa mashindano hayo,Ramadhan Makula,akizungumza na waandishi wa habari,katika Orion Hotel,alisema lengo la mashindano hayo ni kuibua vipaji,kutangaza vivutio vilivyoko Tabora na kuaandaa vijana katika medani ya kitaifa na kimataifa.
Makula alisema wadhamni wa mashindano hayo ni Orion Tabora Hotel,chini ya usimamizi wa mkurugenzi wa hotel hiyo Poley Ahmed na mashindano hayo yanatarajia kushirikisha watu 400 wa rika mbalimbali.
Alisema licha kuasisis mashindano hayo ambayo yatakuwepo kila mwaka,Makula alisema kutakuwa na kazi za kuboresha maeneo ya kihistoria mkoani hapa ambayo ni Living stone Museum iliyopo Kwihara kata ya Itetemia manispaa Tabora.
Aliongeza maeneo hayo yataboreshwa kwa kupaka rangi hali ambayo itawawezesha wananchi na wageni mbalimbali kupata fursa ya kutembelea maeneo hayo ambayo yako kwenye historia ya nchi.
Maratibu huyo alisema wmeamua kufanya hivyo kwa kuwa wana uzalendo mkubwa na mkoa wa Tabora kwani bado mkoa haupewi kipaumbele licha ya kuwa ni mkoa wenye uiwingi wa mambo ya utalii na hata kisiasa.
Naye mdhamini mkuu wa mashindano hayo na mkurugenzi wa Orion Tabora Hotel, Poley Ahmed alisema na kutoa wito kwa vijana wa mkoa wa Tabora kujitokeza kwa wingi kushirikia mashindano hayo ambayo yatakuwa na zawadi mbalimbali katika kilele chake.
Polet alisema licha ya yeye kuwa madhamni pia ameomba na wadau wa mchezo huo na wafadhili mbalimbali kujitokeza kufadhili mashindano hayo.
Mratibu wa mashindano hayo,Ramadhan Makula,akizungumza na waandishi wa habari,katika Orion Hotel,alisema lengo la mashindano hayo ni kuibua vipaji,kutangaza vivutio vilivyoko Tabora na kuaandaa vijana katika medani ya kitaifa na kimataifa.
Makula alisema wadhamni wa mashindano hayo ni Orion Tabora Hotel,chini ya usimamizi wa mkurugenzi wa hotel hiyo Poley Ahmed na mashindano hayo yanatarajia kushirikisha watu 400 wa rika mbalimbali.
Alisema licha kuasisis mashindano hayo ambayo yatakuwepo kila mwaka,Makula alisema kutakuwa na kazi za kuboresha maeneo ya kihistoria mkoani hapa ambayo ni Living stone Museum iliyopo Kwihara kata ya Itetemia manispaa Tabora.
Aliongeza maeneo hayo yataboreshwa kwa kupaka rangi hali ambayo itawawezesha wananchi na wageni mbalimbali kupata fursa ya kutembelea maeneo hayo ambayo yako kwenye historia ya nchi.
Maratibu huyo alisema wmeamua kufanya hivyo kwa kuwa wana uzalendo mkubwa na mkoa wa Tabora kwani bado mkoa haupewi kipaumbele licha ya kuwa ni mkoa wenye uiwingi wa mambo ya utalii na hata kisiasa.
Naye mdhamini mkuu wa mashindano hayo na mkurugenzi wa Orion Tabora Hotel, Poley Ahmed alisema na kutoa wito kwa vijana wa mkoa wa Tabora kujitokeza kwa wingi kushirikia mashindano hayo ambayo yatakuwa na zawadi mbalimbali katika kilele chake.
Polet alisema licha ya yeye kuwa madhamni pia ameomba na wadau wa mchezo huo na wafadhili mbalimbali kujitokeza kufadhili mashindano hayo.
Rotary club of Dar es Salaam Launches Road Safety Campaign
In a move to lower the rate of accidents in our roads, The Rotary Club of Dar es Salaam in association with the Police force of Tanzania, is spearheading a public service campaign initiative towards driving while phoning and texting. The campaign with the theme slogan ‘Driving + Phone = Death’ is aimed and sensitizing drivers not to use their mobile phones while driving.
The President of Rotary club of Dsm Ms. Sharmila Bhatt said – the reason they launched the campaign – was to create awareness of what is slowly becoming a chronic problem and a danger to lives of other motorists not only just in Dar es Salaam but all over the country, that is phoning or texting while driving is not really worth a life. It is known that – A driver talking on a mobile is FOUR TIMES more likely to get into an accident and If you text while you drive you are EIGHT TIMES more likely to get into an accident.
The campaign is being supported by corporate companies and the Police force - who believes this sensitization, will assist in our roads being safe.
Senior Assistant Commissioner of Police Mohamed Mpinga said – “Phoning and texting is causing so many accidents in this country and while legislation is being worked on our utmost concern currently is having citizens driving safely and hence we joined hands with Rotary club of Dar es Salaam in this endeavour” said the commissioner adding “When a citizen is educated in the matter of safety one generally heeds rather than enforcing legislation” he said. Commissioner Mpinga urged more institutions to support the police in its efforts to make our roads safer for all users.
Rotary International is the world's first service club organization, with more than 1.2 million members in 33,000 clubs worldwide. Rotary club members are business leaders who work locally, regionally, and internationally to combat hunger, improve health and sanitation, provide education and job training, promote peace, and eradicate polio under the motto “Service Above Self”.
The campaign is also supported by Airtel Tanzania, Magic FM, Boss Automation Ltd, Clouds Fm and Syscorp Media
About Rotary International
Rotary International is the world's first service club organization, with more than 1.2 million members in 33,000 clubs worldwide. Rotary club members are business leaders who work locally, regionally, and internationally to combat hunger, improve health and sanitation, provide education and job training, promote peace, and eradicate polio under the motto “Service Above Self”.
February 21, 2012
NHIF WAZINDUA MRADI WA KUSAIDIA MAMA WAJAWAZITO NA WATOTO WACHANGA MKOANI TANGA
| Naibu Mkurugenzi Mkuu, Hamis Mdee akiteta jambo na Mkurugenzi Mkuu kuhusu namna ambavyo mradi huo unavyotekelezeka kwa kasi Mkoani Tanga kabla ya kuanza kwa mkutano wa uzinduzi. |
| Akina mama wajawazito waliowawakilisha wenzao 600 wakati wa kupokea vitambulisho vya huduma za afya wakiwa kwenye picha ya pamoja na wafadhili wa mradi (kfW) na NHIF. |
Rais Kikwete aelekea Uingereza kwa Ziara ya Kikazi
Mabondia Salehe Mkalekwa na 'Price Naseem' kutwangana Feb. 24
Na Mwandishi Wetu
BINGWA wa mkanda wa Shirikisho la ngumi za kulipwa Tanzania (PST) Abdalah Mohamed 'Prenc Naseem' atapanda ulingoni kutetea mkanda wake
wa PST Februari 24 mwaka huu dhidi ya Salehe Mkalekwa
Pambano hilo la ubingwa wa PST litakuwa ni pambano la uzito wa kg 57 na litashirikisha mapambano mengine manne ya utangulizi.
Akizungumza Dar es Salaam jana, Mratibu wa pambano hilo Shaban Adiosi 'Mwayamwaya' alisema pambano hilo litafanyika katika ukumbi wa New
Kibeta uliopo mbagala kuu Dar es Salaam.
Alisema pambano hilo la ubingwa wa PST ni muendelezo wa shirikisho hilo kuendelea kuinua mabondia ambao hawajawa na majina makubwa ili nao waweze kufikia kiwango kizuri cha mchezo huo.
"Ubingwa huu wa PST ni maalum kwa ajili ya mabondia chipkizi na ndio maana mabondia wanaoshirikishwa wengi ni chipkizi na lengo ni kuendeleza vipaji vyao,"alisema Mwayamwaya.
Aliyataja mapambano ya utangulizi yatakayopamba pambano hilo yatakuwa kati ya Shaaban Zungu na Hasan Debe watakaopigana uzito wa kg 55,
Safari Mbeyu na Ibrahim Maokola watakaopigana uzito wa kg 67, Jofrey Pacho atakayetwangana na Dickson Kawiani na Kulwa Kindondi atakayepigana na Khaji Hamisi.
Mbali na kuwepo mapambano ya ngumi kutakuwa na uuzwaji wa DVD zenye mapambano ya mabingwa wa Dunia akiwemo Manny Paquaio, Floyd Maywherth, Roy Jones, Lenox Lewis,David Haye na wengine kibao ‘DVD’ hizo zilizoandaliwa kwa ubora wa hali ya juu zitakuwa zikiuzwa kwenye mpambano huo na Kocha wa Kimataifa wa Mchezo wa Ngumi, Rajabu Mhamila Super ‘D’.
“Ninatarajia kuwapelekea DVD mashabiki wa ngumi watakaokuwepo katika pambano kujifunza mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na sheria za mchezo wa ngumi,” alisema Super ‘D’.
BINGWA wa mkanda wa Shirikisho la ngumi za kulipwa Tanzania (PST) Abdalah Mohamed 'Prenc Naseem' atapanda ulingoni kutetea mkanda wake
wa PST Februari 24 mwaka huu dhidi ya Salehe Mkalekwa
Pambano hilo la ubingwa wa PST litakuwa ni pambano la uzito wa kg 57 na litashirikisha mapambano mengine manne ya utangulizi.
Akizungumza Dar es Salaam jana, Mratibu wa pambano hilo Shaban Adiosi 'Mwayamwaya' alisema pambano hilo litafanyika katika ukumbi wa New
Kibeta uliopo mbagala kuu Dar es Salaam.
Alisema pambano hilo la ubingwa wa PST ni muendelezo wa shirikisho hilo kuendelea kuinua mabondia ambao hawajawa na majina makubwa ili nao waweze kufikia kiwango kizuri cha mchezo huo.
"Ubingwa huu wa PST ni maalum kwa ajili ya mabondia chipkizi na ndio maana mabondia wanaoshirikishwa wengi ni chipkizi na lengo ni kuendeleza vipaji vyao,"alisema Mwayamwaya.
Aliyataja mapambano ya utangulizi yatakayopamba pambano hilo yatakuwa kati ya Shaaban Zungu na Hasan Debe watakaopigana uzito wa kg 55,
Safari Mbeyu na Ibrahim Maokola watakaopigana uzito wa kg 67, Jofrey Pacho atakayetwangana na Dickson Kawiani na Kulwa Kindondi atakayepigana na Khaji Hamisi.
Mbali na kuwepo mapambano ya ngumi kutakuwa na uuzwaji wa DVD zenye mapambano ya mabingwa wa Dunia akiwemo Manny Paquaio, Floyd Maywherth, Roy Jones, Lenox Lewis,David Haye na wengine kibao ‘DVD’ hizo zilizoandaliwa kwa ubora wa hali ya juu zitakuwa zikiuzwa kwenye mpambano huo na Kocha wa Kimataifa wa Mchezo wa Ngumi, Rajabu Mhamila Super ‘D’.
“Ninatarajia kuwapelekea DVD mashabiki wa ngumi watakaokuwepo katika pambano kujifunza mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na sheria za mchezo wa ngumi,” alisema Super ‘D’.
February 20, 2012
Wanaume wagoma kula majumbani mwao nchini Kenya kufuatia vipigo toka kwa Wake zao
![]() |
Mwenyekiti wa chama cha wanaume, Nderitu Njoka akimfariji baba aliyepigwa na mkewe. **************** |
Wanaume nchini Kenya wanapanga kugomea vyakula vya mabibi zao kwa siku sita kutoka na kuongezeka kwa visa vya wanawake kuwapiga mabwana zao.
Badala yake wanaume watakuwa wakila mahotelini na magengeni.
Mwenyekiti wa Chama cha maendeleo ya Kina baba Nderitu Njoka amesema mgomo huo wa siku sita una lengo la kuwashinikiza wanawake kukoma kuwanyanyasa na kuwapiga waume zao.
Kiongozi huyo Nderitu Njoka amesema kuanzia leo jumatatu ataanza kampeni ya kuwashawishi akinababa kula mahotelini badala ya majumbani mwao.
Mwenyekiti huyo wa maendeleo ya wauaume alikuwa akizungumza katika hospitali kuu ya mjini Nakuru huko Rift valley ambako alikuwa amekwenda kumliwaza baba mmoja ambaye amelezwa humo kutokana na kipigo alichopewa na mkewe.
Baba huyo akizungumza kwa uchungu hospitalini alisema mkewe alimuita nyumbani it akachukuwe pesa kabla ya kumfungia chumbani na kumtandika.
Kwa muujibu wa bwana Nderitu Njoka, mkoa wa kati nchini Kenya ndio unaongoza kwa idadi ya akina baba wanaopigwa na bibi zao.
Katika mkoa huo wa kati wanaume karibu nusu milioni wameripoti kutandikwa.
Chama hicho cha wanaume kimedai kuwa kuna wanaume ambao wanalazimishwa kufuo nguo za wake zao.
Wengine pia wamedai kunyimwa tendo la ngono na mabibi zao.
Jijini Nairobi wanaume ambao huona kivumbi kutoka kwa wake zao ni laki tatu.
Lakini baadhi ya akina mama kutoka mkoa huo wanasema akina baba ndio wa kulaumiwa kwa kushindwa na majukumu yao ya kifamila.
Wanasema waume wangi wamekuwa waume suruali tu.
Hata hivyo wengi wanasubiri kuona kama kweli mgomo huo utafaulu, na ni wanaume wangapi walio na pesa za kwenda kula hotelini badala ya kula majumbani mwao.
Source:BBC SwahiliBadala yake wanaume watakuwa wakila mahotelini na magengeni.
Mwenyekiti wa Chama cha maendeleo ya Kina baba Nderitu Njoka amesema mgomo huo wa siku sita una lengo la kuwashinikiza wanawake kukoma kuwanyanyasa na kuwapiga waume zao.
Kiongozi huyo Nderitu Njoka amesema kuanzia leo jumatatu ataanza kampeni ya kuwashawishi akinababa kula mahotelini badala ya majumbani mwao.
Mwenyekiti huyo wa maendeleo ya wauaume alikuwa akizungumza katika hospitali kuu ya mjini Nakuru huko Rift valley ambako alikuwa amekwenda kumliwaza baba mmoja ambaye amelezwa humo kutokana na kipigo alichopewa na mkewe.
Baba huyo akizungumza kwa uchungu hospitalini alisema mkewe alimuita nyumbani it akachukuwe pesa kabla ya kumfungia chumbani na kumtandika.
Kwa muujibu wa bwana Nderitu Njoka, mkoa wa kati nchini Kenya ndio unaongoza kwa idadi ya akina baba wanaopigwa na bibi zao.
Katika mkoa huo wa kati wanaume karibu nusu milioni wameripoti kutandikwa.
Chama hicho cha wanaume kimedai kuwa kuna wanaume ambao wanalazimishwa kufuo nguo za wake zao.
Wengine pia wamedai kunyimwa tendo la ngono na mabibi zao.
Jijini Nairobi wanaume ambao huona kivumbi kutoka kwa wake zao ni laki tatu.
Lakini baadhi ya akina mama kutoka mkoa huo wanasema akina baba ndio wa kulaumiwa kwa kushindwa na majukumu yao ya kifamila.
Wanasema waume wangi wamekuwa waume suruali tu.
Hata hivyo wengi wanasubiri kuona kama kweli mgomo huo utafaulu, na ni wanaume wangapi walio na pesa za kwenda kula hotelini badala ya kula majumbani mwao.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya lawamani kufuatia Kifo cha Mwanachuo kilichotokea Siku ya Wapendanao 'Valentines Day'
| Marehemu Daniel Godluck Mwakyusa (31) ambaye ni mwanafunzi wa chuo cha TEKU aliyeuawa na Askari wa Jeshi la Polisi PC Maduhu tarehe 14/02/2012 katika sikukuu ya wapendanao 'valentine day'. |
Baadhi ya majeraha yaliyotokana na kipigo katika mwili wa marehemu Daniel Godluck Mwakyusa (31) ambaye ni mwanafunzi wa chuo hicho. |
| Baadhi ya majeraha yaliyoyokana na kipigo atika mwili wa marehemu Daniel Godluck Mwakyusa (31). |
******
Habari na Ezekiel Kamanga, Mbeya.
Watu watatu wamefariki dunia mkoani MBEYA katika matukio matatu tofauti, likiwemo la tukio la Mwanafunzi wa chuo kikuu cha TEKU kilichopo jijini mbeya marehemu Daniel Godluck Mwakyusa (31) ambaye ni mwanafunzi wa chuo hicho aliuawa na Askari wa Jeshi la Polisi PC Maduhu tarehe 14/02/2012 katika sikukuu ya wapendanao {valentine day].
Marehemu akiwa na wenzake wanne walikuwa katika matembezi ambapo polisi walikuwa doria walikuta vijana hao wakipata vinywaji ndipo waliwatuhumu kuwa ni majambazi ambapo PC Maduhu alimpiga marehemu risasi mbili kwa kutumia bunduki aina ya [SMG].
Pia marehemu aliporwa shilingi laki tatu pamoja na simu ya mkononi .
Kwa mujibu wa baba mzazi wa marehemu huyo Bwana Pastory Mwakyusa amesema kuwa anasikitishwa sana na kitendo hicho kilichotokea kwani mwanawe hakuwa na tabia ya wizi au ujambazi hivyo ameliomba Jeshi la Polisi kueleza sababu ya kumuua mtoto wake.
Hata hivyo Jeshi la Polisi lilitoa usafiri wa gari lenye nambari za usajili T 138 AFK aina ya Coster kwa ajili ya kusafirisha Mwili wa marehemu kwenda katika wilaya ya Kyela kwa ajili ya mazishi baada ya uchunguzi wa daktari kuthibitisha kuwa marehemu ameuwawa kwa risasi.
Tukio la pili marehemu Zuberi Mwajeleba (21) mkazi wa kijiji cha Ibumba wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya ambaye alinyongwa kisha mwili wake kutupwa katika mto wa Kanyegele wilayani humo.
Kamanda wa polisi mkoani Mbeya Advocate Nyombi amesema chanzo cha tukio hilo bado hakijafahamika na Jeshi la Polisi linaendelea kufanya uchunguzi juu ya tukio hilo.
Katika tukio la tatu limetokea majira ya saa nane mchana katika eneo la Ilomba jijini Mbeya ambapo pikipiki yenye namba za usajili T 834 BOX aina ya Shinray ambayo dereva wake bado hajafahika alimgonga mtoto Mildred Immanuel (10) mkazi wa eneo hilo.
Hata hivyo dereva alitoroka na kuitelekeza pikipiki katika eneo la tukio na pikipiki hiyo imehifadhiwa katika Kituo cha kati cha Jeshi la Polisi, na mwili wa marehemu umehifadhiwa katika Hospitali ya Rufaa Jijini Mbeya na Polisi wanafanya juhudi za kumtafuta dereva huyo.
HABARI YA KUFUFUKA.
Wakati huo huo katika hali isiokuwa ya kawaida Roza Simbeye ambaye ni mama wa mtoto mmoja katika kitongoji cha Isandula, kijiji cha Vuwile, Kata ya Isandula, aliyefariki Februari 16 majira ya saa kumi na mbili za jioni amefufuka wakati taratibu zote za mazishi zipokamilika kama kuchimba kaburi na kuchonga jeneza na taratibu za ibada.
Na ilipofika majira ya saa 3:30 asubuhi ya Februari 17 baada ya kaburi kuchimbwa na jeneza kukamilika zilianza taratibu za kuchukua mwili wa marehemu Roza chumbani ndipo watu waliopewa jukumu la kumwosha walishangaa kumwona marehemu akiwa hai huku akiwa amtoa macho kama vile mtu ametoka usingizini ambapo mpaka sasa kaburi halijafukiwa wala jeneza halijatumiwa na kufanya wanakijiji kubaki na mshangao.
Habari na Ezekiel Kamanga, Mbeya.
Watu watatu wamefariki dunia mkoani MBEYA katika matukio matatu tofauti, likiwemo la tukio la Mwanafunzi wa chuo kikuu cha TEKU kilichopo jijini mbeya marehemu Daniel Godluck Mwakyusa (31) ambaye ni mwanafunzi wa chuo hicho aliuawa na Askari wa Jeshi la Polisi PC Maduhu tarehe 14/02/2012 katika sikukuu ya wapendanao {valentine day].
Marehemu akiwa na wenzake wanne walikuwa katika matembezi ambapo polisi walikuwa doria walikuta vijana hao wakipata vinywaji ndipo waliwatuhumu kuwa ni majambazi ambapo PC Maduhu alimpiga marehemu risasi mbili kwa kutumia bunduki aina ya [SMG].
Pia marehemu aliporwa shilingi laki tatu pamoja na simu ya mkononi .
Kwa mujibu wa baba mzazi wa marehemu huyo Bwana Pastory Mwakyusa amesema kuwa anasikitishwa sana na kitendo hicho kilichotokea kwani mwanawe hakuwa na tabia ya wizi au ujambazi hivyo ameliomba Jeshi la Polisi kueleza sababu ya kumuua mtoto wake.
Hata hivyo Jeshi la Polisi lilitoa usafiri wa gari lenye nambari za usajili T 138 AFK aina ya Coster kwa ajili ya kusafirisha Mwili wa marehemu kwenda katika wilaya ya Kyela kwa ajili ya mazishi baada ya uchunguzi wa daktari kuthibitisha kuwa marehemu ameuwawa kwa risasi.
Tukio la pili marehemu Zuberi Mwajeleba (21) mkazi wa kijiji cha Ibumba wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya ambaye alinyongwa kisha mwili wake kutupwa katika mto wa Kanyegele wilayani humo.
Kamanda wa polisi mkoani Mbeya Advocate Nyombi amesema chanzo cha tukio hilo bado hakijafahamika na Jeshi la Polisi linaendelea kufanya uchunguzi juu ya tukio hilo.
Katika tukio la tatu limetokea majira ya saa nane mchana katika eneo la Ilomba jijini Mbeya ambapo pikipiki yenye namba za usajili T 834 BOX aina ya Shinray ambayo dereva wake bado hajafahika alimgonga mtoto Mildred Immanuel (10) mkazi wa eneo hilo.
Hata hivyo dereva alitoroka na kuitelekeza pikipiki katika eneo la tukio na pikipiki hiyo imehifadhiwa katika Kituo cha kati cha Jeshi la Polisi, na mwili wa marehemu umehifadhiwa katika Hospitali ya Rufaa Jijini Mbeya na Polisi wanafanya juhudi za kumtafuta dereva huyo.
HABARI YA KUFUFUKA.
Wakati huo huo katika hali isiokuwa ya kawaida Roza Simbeye ambaye ni mama wa mtoto mmoja katika kitongoji cha Isandula, kijiji cha Vuwile, Kata ya Isandula, aliyefariki Februari 16 majira ya saa kumi na mbili za jioni amefufuka wakati taratibu zote za mazishi zipokamilika kama kuchimba kaburi na kuchonga jeneza na taratibu za ibada.
Na ilipofika majira ya saa 3:30 asubuhi ya Februari 17 baada ya kaburi kuchimbwa na jeneza kukamilika zilianza taratibu za kuchukua mwili wa marehemu Roza chumbani ndipo watu waliopewa jukumu la kumwosha walishangaa kumwona marehemu akiwa hai huku akiwa amtoa macho kama vile mtu ametoka usingizini ambapo mpaka sasa kaburi halijafukiwa wala jeneza halijatumiwa na kufanya wanakijiji kubaki na mshangao.
Habari na Picha kwa Hisani ya Mbeya Yetu Blog
Rais Dk.Jakaya Kikwete aongoza sherehe za Ugawaji mifugo kwa kaya zilizoathirika na ukame Longido
| Viongozi wa kabila la Kimasai (Laigwenani) wakimpa Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete zana za kijadi za uongozi mkuki na fimbo wakati wa hafla ya kukabidhi ng’ombe iliyofanyika wilayani Longido jumapili. |
| Mmoja wa Wazee wa Kimasai akimuombea dua Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete wailayani Longido Jumapili. PICHA/FREDDY MARO |
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amezindua Mradi Kabambe wa Serikali wa Uwezeshaji Mifugo (Seed Stock) wa kutoa kifuta machozi cha mifugo kwa maelfu ya wananchi katika wilaya tatu za Mkoa wa Arusha mifugo ambao walipoteza mifugo yao wakati wa ukame mkubwa ulioendelea kwa miaka mitatu mfululizo katika wilaya hizo.
Rais Kikwete amezindua Mradi huo katika sherehe kubwa iliyofanyika mjini Longido jana, Jumapili, Februari 19, 2012, ambako amekabidhi ng’ombe jike watano na mbuzi watano kwa kila moja ya kaya 2,852 zilizopoteza mifugo hasa ng’ombe katika wilaya hiyo wakati wa ukame huo mkali ambao ulifikia kilele chake kwa mwaka 2008/2009.
Kiasi cha ng’ombe majike 500 wametolewa kwa wananchi wa Wilaya ya Longido katika sherehe ya jana iliyohudhuriwa na viongozi kutoka wilaya zote tatu wakiwemo viongozi wa Serikali, viongozi wa halmashauri, wabunge, viongozi wa vyama vya siasa na viongozi wa dini.
Katika sherehe hizo zilizohudhuriwa pia na Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mheshimiwa Dkt. David Mathayo David na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Mheshimiwa William Lukuvi wananchi wa Wilaya ya Longido wamemshukuru kwa dhati Mheshimiwa Kikwete na Serikali yake kwa kubuni na kutekeleza Mradi huo wa aina yake ambao haujapata kubuniwa ama kutelekezwa na Serikali yoyote tokea Uhuru.
Chini ya Mradi huo ambao utagharimu kiasi cha sh bilioni 11.2, kaya 6, 127 katika wilaya za Longido, Ngorongoro na Monduli, zote za Mkoa wa Arusha, zitapewa kifuta machozi cha ng’ombe majike watano na dume mmoja (ama mbuzi badala ya dume kama walivyoamua wananchi wa Longido), ili kuwawezesha wananchi kuanza tena kujenga misingi ya mifugo yao ambayo ilipotea katika ukame mkubwa ambao ulifikia kilele chake mwaka 2009.
Mbali na kutoa kifuta machozi cha mifugo, Serikali imekuwa inatoa misaada ya chakula cha dharura kwa wananchi wa maeneo hayo tokea wakati wa ukame huo. Wilaya ya Longido pekee yake mara nane imepokea chakula cha dharura cha kiasi cha tani 11,000 katika kipindi hicho.
Kwa mujibu wa kikosikazi cha Serikali kilichofanya tathmini ya upotevu wa mifugo kutokana na ukame huo, Wilaya ya Longido ilipoteza ng’ombe 231,832, mbuzi 171,435 na kondoo 92,235, Wilaya ya Ngorongoro ilipoteza ngo’mbe 115, 422 na Wilaya ya Monduli ilipoteza ngo’mbe 56,585, mbuzi 39,766 na kondoo 28,883.
Hatua ya utoaji ngo’mbe kwa wananchi wa Wilaya la Longido ambao utafuatiwa na utoaji wa ngo’ombe kwa wananchi wa wilaya za Ngongoro na Monduli, ni utekelezaji wa ahadi aliyoitoa Mheshimiwa Rais Kikwete alipotembelea Wilaya ya Longido Agosti 23, mwaka 2009, na kushtushwa na madhara yaliyokuwa yamesababishwa na ukame katika wilaya hiyo. Rais Kikwete alirudia ahadi yake hiyo wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010 katika mikutano yake ya kampeni mjini Longido na katika eneo la Namanga.
Kwa mujibu wa Mradi huo, jumla ya ngo’ombe 25, 055 na wastani wa mbuzi 14, 260 (watano kwa kila kaya) watatolewa na Serikali ambako Halmashauri ya Wilaya ya Monduli itapata ngo’mbe 6,184, Halmashauri ya Wilaya ya Longido ng’ombe majike 11, 408 na wastani wa mbuzi 14, 260 wakati Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro itapata ngo’mbe 7, 463.
Akizungumza katika sherehe hizo, Rais Kikwete amesema kuwa ngo’mbe wanaotolewa kwa wananchi siyo fidia ya mifugo yao ambayo ilipotea wakati wa ukame bali ni kifuta machozi tu.
“Hatuna uwezo wa kuwafidia wananchi ngo’mbe wote waliopotea katika ukame ule. Lakini kama Serikali lazima tufanye jitihada za kuwawezesha wananchi wa Masai kurejea katika shughuli yao kuu yaani ufungaji kwa kutoa kifuta machozi tu kidogo. Bila ngo’mbe hakuna Mmasai.”
Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu,
DAR ES SALAAM.
Rais Kikwete amezindua Mradi huo katika sherehe kubwa iliyofanyika mjini Longido jana, Jumapili, Februari 19, 2012, ambako amekabidhi ng’ombe jike watano na mbuzi watano kwa kila moja ya kaya 2,852 zilizopoteza mifugo hasa ng’ombe katika wilaya hiyo wakati wa ukame huo mkali ambao ulifikia kilele chake kwa mwaka 2008/2009.
Kiasi cha ng’ombe majike 500 wametolewa kwa wananchi wa Wilaya ya Longido katika sherehe ya jana iliyohudhuriwa na viongozi kutoka wilaya zote tatu wakiwemo viongozi wa Serikali, viongozi wa halmashauri, wabunge, viongozi wa vyama vya siasa na viongozi wa dini.
Katika sherehe hizo zilizohudhuriwa pia na Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mheshimiwa Dkt. David Mathayo David na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Mheshimiwa William Lukuvi wananchi wa Wilaya ya Longido wamemshukuru kwa dhati Mheshimiwa Kikwete na Serikali yake kwa kubuni na kutekeleza Mradi huo wa aina yake ambao haujapata kubuniwa ama kutelekezwa na Serikali yoyote tokea Uhuru.
Chini ya Mradi huo ambao utagharimu kiasi cha sh bilioni 11.2, kaya 6, 127 katika wilaya za Longido, Ngorongoro na Monduli, zote za Mkoa wa Arusha, zitapewa kifuta machozi cha ng’ombe majike watano na dume mmoja (ama mbuzi badala ya dume kama walivyoamua wananchi wa Longido), ili kuwawezesha wananchi kuanza tena kujenga misingi ya mifugo yao ambayo ilipotea katika ukame mkubwa ambao ulifikia kilele chake mwaka 2009.
Mbali na kutoa kifuta machozi cha mifugo, Serikali imekuwa inatoa misaada ya chakula cha dharura kwa wananchi wa maeneo hayo tokea wakati wa ukame huo. Wilaya ya Longido pekee yake mara nane imepokea chakula cha dharura cha kiasi cha tani 11,000 katika kipindi hicho.
Kwa mujibu wa kikosikazi cha Serikali kilichofanya tathmini ya upotevu wa mifugo kutokana na ukame huo, Wilaya ya Longido ilipoteza ng’ombe 231,832, mbuzi 171,435 na kondoo 92,235, Wilaya ya Ngorongoro ilipoteza ngo’mbe 115, 422 na Wilaya ya Monduli ilipoteza ngo’mbe 56,585, mbuzi 39,766 na kondoo 28,883.
Hatua ya utoaji ngo’mbe kwa wananchi wa Wilaya la Longido ambao utafuatiwa na utoaji wa ngo’ombe kwa wananchi wa wilaya za Ngongoro na Monduli, ni utekelezaji wa ahadi aliyoitoa Mheshimiwa Rais Kikwete alipotembelea Wilaya ya Longido Agosti 23, mwaka 2009, na kushtushwa na madhara yaliyokuwa yamesababishwa na ukame katika wilaya hiyo. Rais Kikwete alirudia ahadi yake hiyo wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010 katika mikutano yake ya kampeni mjini Longido na katika eneo la Namanga.
Kwa mujibu wa Mradi huo, jumla ya ngo’ombe 25, 055 na wastani wa mbuzi 14, 260 (watano kwa kila kaya) watatolewa na Serikali ambako Halmashauri ya Wilaya ya Monduli itapata ngo’mbe 6,184, Halmashauri ya Wilaya ya Longido ng’ombe majike 11, 408 na wastani wa mbuzi 14, 260 wakati Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro itapata ngo’mbe 7, 463.
Akizungumza katika sherehe hizo, Rais Kikwete amesema kuwa ngo’mbe wanaotolewa kwa wananchi siyo fidia ya mifugo yao ambayo ilipotea wakati wa ukame bali ni kifuta machozi tu.
“Hatuna uwezo wa kuwafidia wananchi ngo’mbe wote waliopotea katika ukame ule. Lakini kama Serikali lazima tufanye jitihada za kuwawezesha wananchi wa Masai kurejea katika shughuli yao kuu yaani ufungaji kwa kutoa kifuta machozi tu kidogo. Bila ngo’mbe hakuna Mmasai.”
Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu,
DAR ES SALAAM.
AIRTEL ESTABLISHES WIDEST COVERAGE RURAL IN TANZANIA
**********************************************************************************
Airtel, a telecommunication Company has launched the communication tower at Mgagao village, Mwanga district in Kilimanjaro region which will help in operation of four villages around Mgagao such as Makungwini, Mambarale, Kingondi, and pangalo.
Speaking during the launch, Airtel’s Northern marketing Manager Semshitu Msangi said that ‘’Airtel as the widest coverage telecommunication in Tanzania will proceed with its policy of giving the reliable network and affordable one to the people of rural village and urban areas, we know that communication has the big role in our community such as in implementation of security, upgrading the economic level.
Our focus is to make sure that, the community are together by doing so we are making sure that the rural areas are having the reliable communication and affordable because in rural areas is where there is a lot of challenges‘.
“Now day’s people of Mgagao village and the surrounding villages have the opportunity to access all Airtel products and services such as money transfer “Airtel Money” , Internet services ,and they enjoy affordable rates while calling and sending the messages, Msangi added”
On behalf of the people of Mgagao village, Mwanga District Council Chairman Ms.Theresia Msuya said “thanks to Airtel Telecommunication Company for giving us this unique opportunity of having reliable communication network here in Mwanga district.
"Thanks Airtel for your shore up to these communities which was real facing communication challenges we had before such as absence of network at all in Mwanga district. Also I would like to urge Airtel to ensure continuity of their plans for future rollout of their network in an effort to accelerate the rural development and economic enhancement of our people. We are together, and ready to continue improving the working environment to encourage more investment within our region rural areas.
"The launching of Mgagao tower will enable the neighboring village such as Makungwini, Mambarale, Kingondi and Pangalo to have communication network from Mgagao tower. We thanks Airtel for giving us the reliable and affordable network which have the widest coverage, that everywhere you go Airtel will be with you" Mwanga district ward Chairman Ms.Theresia Msuya added Airtel Tanzania is the mostly forehead company to make sure mobile communication is reaching all Tanzanians nationwide especially in rural village.
Speaking during the launch, Airtel’s Northern marketing Manager Semshitu Msangi said that ‘’Airtel as the widest coverage telecommunication in Tanzania will proceed with its policy of giving the reliable network and affordable one to the people of rural village and urban areas, we know that communication has the big role in our community such as in implementation of security, upgrading the economic level.
Our focus is to make sure that, the community are together by doing so we are making sure that the rural areas are having the reliable communication and affordable because in rural areas is where there is a lot of challenges‘.
“Now day’s people of Mgagao village and the surrounding villages have the opportunity to access all Airtel products and services such as money transfer “Airtel Money” , Internet services ,and they enjoy affordable rates while calling and sending the messages, Msangi added”
On behalf of the people of Mgagao village, Mwanga District Council Chairman Ms.Theresia Msuya said “thanks to Airtel Telecommunication Company for giving us this unique opportunity of having reliable communication network here in Mwanga district.
"Thanks Airtel for your shore up to these communities which was real facing communication challenges we had before such as absence of network at all in Mwanga district. Also I would like to urge Airtel to ensure continuity of their plans for future rollout of their network in an effort to accelerate the rural development and economic enhancement of our people. We are together, and ready to continue improving the working environment to encourage more investment within our region rural areas.
"The launching of Mgagao tower will enable the neighboring village such as Makungwini, Mambarale, Kingondi and Pangalo to have communication network from Mgagao tower. We thanks Airtel for giving us the reliable and affordable network which have the widest coverage, that everywhere you go Airtel will be with you" Mwanga district ward Chairman Ms.Theresia Msuya added Airtel Tanzania is the mostly forehead company to make sure mobile communication is reaching all Tanzanians nationwide especially in rural village.
Subscribe to:
Comments (Atom)

























